Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
licha ya kuchelewa kutoa salamu zangu za pasaka kwako na kwa familia yako, nadhani bado ni muhimu sana walau kusema tu heri ya sikukuu ya pasaka mwanafamilia wa JF🌹
ukiachana huzuni na majonzi kwa matokeo ya vitu vingine tangu Ijumaa pale lupaso,
nimewiwa kutoa rai binafsi kwako, ya kuwa makini na mtulivu sana nyumbani na familia, na kujizuia kutoka kwenda kupata huzuni nyingine zaid mathalani za kiafya, fedheha nakadhalika.🐒
Furahia sikukuu hii kwa Furaha na kwa kiasi.
Japo kuna wengine ndio kwanza wametoka kuambukizana UTI sugu, fangas, gono, kaswende na pengine ukimwi muda huu, na sasa hivi ndio wametoka walikokua wamejisitiri, kuna wengine nao wamejipanga, wana miadi ya kwenda kuhuzunishana badae jioni kwa huzuni hizo hizo nilizozitaja 🐒
wengine ni vijana Lakini wengine ni watu wazima na familia zao.
hakikisha hupati maradhi hasa ya fedheha kwa kuficho katika siku kuu hii ya pasaka 2024...
Nawatakia nyote pasaka ya furaha na sio huzuni 🐒
ukiachana huzuni na majonzi kwa matokeo ya vitu vingine tangu Ijumaa pale lupaso,
nimewiwa kutoa rai binafsi kwako, ya kuwa makini na mtulivu sana nyumbani na familia, na kujizuia kutoka kwenda kupata huzuni nyingine zaid mathalani za kiafya, fedheha nakadhalika.🐒
Furahia sikukuu hii kwa Furaha na kwa kiasi.
Japo kuna wengine ndio kwanza wametoka kuambukizana UTI sugu, fangas, gono, kaswende na pengine ukimwi muda huu, na sasa hivi ndio wametoka walikokua wamejisitiri, kuna wengine nao wamejipanga, wana miadi ya kwenda kuhuzunishana badae jioni kwa huzuni hizo hizo nilizozitaja 🐒
wengine ni vijana Lakini wengine ni watu wazima na familia zao.
hakikisha hupati maradhi hasa ya fedheha kwa kuficho katika siku kuu hii ya pasaka 2024...
Nawatakia nyote pasaka ya furaha na sio huzuni 🐒