Kibogoyio2020
Senior Member
- May 4, 2018
- 154
- 77
Jf. Kampuni ya heritage financing company limited iliyoko Arusha mjini inyokopesha mikopo kwa riba ya 100% imeendeleza kilio nchini kwa kuuza nyumba za watanzania bila kufuata taratibu wala sheria za nchi yetu. Kila kona wananchi wanalizwa. Ukifika mahakama yeyote hapa Arusha utakuta kesi zaidi ya kumi ya hii kampuni. Waliowahi kuuziwa nyumba ,magari, viwanja, no kampuni hii. Tukutane hapa