Herode wa Bongofleva anamtafuta mtoto ambae amezaliwa

Herode wa Bongofleva anamtafuta mtoto ambae amezaliwa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Herode anamtafuta mtoto ambae amezaliwa.

Herode alifadhaika Sana moyoni, kusikia mfalme Yesu amezaliwa katika Bethlehem nchi ambayo Herode aliitawala.

Mtoto mfalme alie tabiriwa kuchukua ufalme wa Bongo Fleva, amezaliwa usiku wa Jana tarehe 14 March 2020 @ Mlimani City
 
Siku Liverpool mkipewa kile kikombe pendwa basi na kijana atakua ameshamaliza deni lake

Amalize aisee, maana jana nilitaka kusikia zile nyimbo za Kwangaru, Aiyola, Matatizo na ule alifabya na Rich Mavoko ila bahati haikuwa.
 
Labda kwa saiv wanaweza kumuachia jumla maana kipindi kile walidhani zile nyimbo ndo zilizokua zinambeba.
Amalize aisee, maana jana nilitaka kusikia zile nyimbo za Kwangaru, Aiyola, Matatizo na ule alifabya na Rich Mavoko ila bahati haikuwa.
 
Ndo mana bongofleva haikui kwa kua naashabiki maandazi kama nyie msanii akikua kidogo tu mnaanza kumfananisha na domo na ndo apo wanapopotea wengi yani wanaweka limit as if domo ndo kipimo cha mafanikio ya bongofleva afu sasa kibaya zaid wanapita mulemule alimopita yeye ndo wanapofeli zaid.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mana bongofleva haikui kwa kua naashabiki maandazi kama nyie msanii akikua kidogo tu mnaanza kumfananisha na domo na ndo apo wanapopotea wengi yani wanaweka limit as if domo ndo kipimo cha mafanikio ya bongofleva afu sasa kibaya zaid wanapita mulemule alimopita yeye ndo wanapofeli zaid.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna mijitu ni mijinga sana yaani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom