Heroin na cocaine zapanda bei

Heroin na cocaine zapanda bei

Kama wameshindwa kukomesha hii biashara, basi wahalalishe ili waweze kudhibiti uingizwaji na matumizi yake, pia Serikali iweze kukusanya kodi za uingizaji "Mzigo"....
 
kwa mtaji huu home made chocolates zangu hazina issue!mwe!
mpk mama ntiz'

Ndiyo ujarisimali huo. Kama huyu mama ntilie anayedaiwa kuifanya hii biashara maeneo ya Kimara.

.....Ukipita pale Kimara mwisho Dar...pale zinapopaki daladala za ziendazo kwa komba na matosa kuna banda mwisho mwisho asubuhi kuna mama anauza chai, bangi, sembe na mapochopocho mengine halafu mchana mateja na makonda wanaendeleza kamali na sembe yaani hawana habari wamefunga bendera zao za ccm wanajihakikishia kinga....
 
Wamejuaje kama imepanda? Kama wanajua bei, basi wanawajua na wauzaji wake. Mbona wanatuletea habari ya ajabu? Si wawakamate waliowapa bei ili kujua wamepata wapi hiyo bei mpya!
 
 
Last edited by a moderator:
nchi yetu imedhalilishwa sana kupitiliza, na kibaya zaidi wanakamtiwa nje ya nchi yaani hapa kwetu ni kichochoro ambacho hakiwapi shida kabisa. polisi wanasema wanadhibiti nini wakati ni huyo mmoja walieambulia wa kete 86.
 
Nadhani cha msingi nguvu nyingi zielekezwe katika kuzuia kuingiza na sio kutoa,otherwise ni zoezi ambalo halito kuwa namafanikio.
 
Back
Top Bottom