Hersi amuonesha kiganja 5G Rais wa CAF na FIFA

Inamana na kupita mlango tofauti ni sayansi au kiujumla Kwa anayezijua Simba na Yanga kuhusu uchawi hawezi bishana zile timu zote zinaloga na ndio sababu unaona zina hatua haziwezi fika mbali sababu uchawi sio kila mtu unaweza kumkamata
Wachezaji wa Yanga walitembea kwa miguu kutoka Uhasibu hadi uwanjani na hawakutumia milango rasmi ya timu. Kwa kuwa wacha mbuzi wote wamewaweka mfukoni hakuna aliyeliongelea hilo.
 
Wachezaji wa Yanga walitembea kwa miguu kutoka Uhasibu hadi uwanjani na hawakutumia milango rasmi ya timu. Kwa kuwa wacha mbuzi wote wamewaweka mfukoni hakuna aliyeliongelea hilo.
Je Yanga inaweza kucheza fainali za club world cup kwakutumia hizo mbinu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…