Hersi anampangia kocha kikosi, kesho kunyamazishwa

Hersi anampangia kocha kikosi, kesho kunyamazishwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
 
Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
Nabi anakosea sana kumpanga Bangala beki

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mnatamani kweli Yanga ivurugane ili mpate cha kusema! Ila kwa bahati mbaya jambo hilo haliwezekani kwa sasa.

Yanga kama timu, imesheheni makocha wenye CV kubwa! Hivyo hakuna kiongozi wa kuwapangia kikosi cha kuanza. Hata sisi humu jukwaani, huwa tunashauri tu. Ila hatuna mamlaka yoyote yale ya kumpangia Profesa Nabi kikosi cha kuanza.


Hayo mambo ya viongozi kupangia timu kikosi cha kuanza, yapo kwenu miaka nenda. Na ndiyo maana hamkai muda mrefu na makocha kutoka nje! Isipokuwa mswahili mwenzenu Selemani Matola.
 
Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
Kolowizad at work, utakufa siku si zako wewe vinginevyo utavalishwa dela maana unapenda umbea umbea kama wanawake, Eng.anawakosesha raha sana na bado mtaongea mengi
 
Mnatamani kweli Yanga ivurugane ili mpate cha kusema! Ila kwa bahati mbaya jambo hilo haliwezekani kwa sasa.

Yanga kama timu, imesheheni makocha wenye CV kubwa! Hivyo hakuna kiongozi wa kuwapangia kikosi cha kuanza. Hata sisi humu jukwaani, huwa tunashauri tu. Ila hatuna mamlaka yoyote yale ya kumpangia Profesa Nabi kikosi cha kuanza.

Hayo mambo ya viongozi kupangia timu kikosi cha kuanza, yapo kwenu miaka nenda. Na ndiyo maana hamkai muda mrefu na makocha kutoka nje! Isipokuwa mswahili mwenzenu Selemani Matola.
Unabisha nini na ndiyo kinachoendelea sasa? Mtapasuana sana mwaka huu. Mbio za sakafuni hizo
 
Taabu ipo pale pale. Watu pekee wanaoweza kuisaidia Yanga kukwepa kichapo Sudan ni Chama, Phiri, Okrah, Joash Onyango (babu), Inonga hata Kibu Denga
 
Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
Acha uongo sijasoma hat Aya mbili tayari nimekupuuza
 
ishawahi ona maharagwe ya nazi yanafungwa kwenye gazeti, ulishaonja samaki wa kupakwa, ulishawahi kula wali kilo moja ilowekewa nazi nne
Vyote hivi vikichanganywa unapata msosi uitwao pira Mgunda. Karibu Lupaso upate pira Mgunda ufaidi ladha ya pishi la kitanga. Mapenzi yamezaliwa Tanga na mapenzi nifuraha njoo simba jpili ufurahi
 
Nimefurahishwa na utani uliomaliza nao. Nikutoe tu wasiwasi tu nakukurekebisha kuwa in keshokutwa ndiyo mwisho wa furaha zetu maana hakuna namna aibu itakuwa upande wenu wote mnaotuombea njaa.
Nakuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom