Hersi anampangia kocha kikosi, kesho kunyamazishwa

Hersi anampangia kocha kikosi, kesho kunyamazishwa

Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
Kocha anatakiwa achezeche washambuliaji wa 2 Makambo na Mayele na kiuongo namba 8 Aziz k, Feisal asibili nje kwanza

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kolowizad at work, utakufa siku si zako wewe vinginevyo utavalishwa dela maana unapenda umbea umbea kama wanawake, Eng.anawakosesha raha sana na bado mtaongea mengi
Sasa kama amezinyaka za uvunguni asiseme kisa aogope kuitwa mmbea na matopolo ?
 
Labda group la damu, tenq group O
Uzuri hata wewe huna uhakika kama Yanga atashindwa kutinga group stage ndiyo maana umetumia neno labda.
Nikuhakikishie tu Yanga itatinga CAF group Stage ya Champions League na kukuacha wewe ukihangaika na grroup lako la damu
 
Yani Rais wa timu ya Yanga anahojiwa kuhusu safari ya tim na mchezo wenyewe wa kesho!?! Hii inapatikana Tanzania pekee au labda na Africa.
 
Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
Umbumbumbu ni mzigo mkubwq sana
 
NAOMBA JUMAPILI TUACHE USIMBA NA UYANGA TUIOMBE AL- HILAL IKAFUZU HATUA YA MAKUNDI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji736][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Comments zako huwa zinanirahisha sana. Inabidi niku follow tu hakuna namna
 
Taarifa za ndani ya Yanga nilizotaarifiwa ni kuwa Eng Hersi Said ndiye anayemlazimisha Nabi kumchezesha Feisal na Aziz Ki kwa pamoja, hataki kuona mmoja anaanzia Benchi.

Hersi ndiye aliyemwambia Nabi kuwa Feisal na Aziz awatumie wote kwa pamoja atajua yeye atakavyowatumia lakini lazima waanze kwa sababu Feisal ni Senior Player wa Yanga na Aziz ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi sana na Usajili wake umegharimu hela nyingi mno.

Mashabiki wengi wanamlaumu Nabi kwamba amrudishe Bangala namba 6 hawajui kuwa Uongozi wa Yanga umempa Mashariti ya lazima Feisal na Aziz Ki wacheze dakika zote.

Mpira wetu Bongo hauendelei kwa sababu ya viongozi. Viongozi huingilia Majukumu ya Kocha, Nabi anajua kabisa Bangala anafaa kucheza namba 6 lakini hana namna sababu akimchezesha Bangala namba 6, Aucho namba 8 maana yake Aziz na Feisal lazima mmoja aanzie Benchi jambo ambalo Hersi hataki kabisa kusikia.

Kikosi kitakachoenda Khartoum kuivaa Al Hilal ni hiki hiki kilichonusurika kupigwa kwa Mkapa, yaani Bangala anakaa Beki wa Kati, 6 Aucho, 8 Feisal, 10 Aziz Ki hivyo ndio anataka Rais wa Yanga.

My Take
Iwe mvua iwe jua kesho ndiyo mwisho wa mpira wa mdomoni.
Mwanaume mzima kua mmbea ni hatari kwa afya yako
 
Taabu ipo pale pale. Watu pekee wanaoweza kuisaidia Yanga kukwepa kichapo Sudan ni Chama, Phiri, Okrah, Joash Onyango (babu), Inonga hata Kibu Denga
Kwahiyo tuwaazimishe? Hahahaha
 
Mnatamani kweli Yanga ivurugane ili mpate cha kusema! Ila kwa bahati mbaya jambo hilo haliwezekani kwa sasa.

Yanga kama timu, imesheheni makocha wenye CV kubwa! Hivyo hakuna kiongozi wa kuwapangia kikosi cha kuanza. Hata sisi humu jukwaani, huwa tunashauri tu. Ila hatuna mamlaka yoyote yale ya kumpangia Profesa Nabi kikosi cha kuanza.


Hayo mambo ya viongozi kupangia timu kikosi cha kuanza, yapo kwenu miaka nenda. Na ndiyo maana hamkai muda mrefu na makocha kutoka nje! Isipokuwa mswahili mwenzenu Selemani Matola.
Sawa
 
Back
Top Bottom