Hersi kutumia kombe kuombea kura! Kombe ni mali ya club au GSM?

Ah mbona inasemekana ilo kombe lina ishi pale salamanda...........

Ww ulishawahi kumuon Mo amepiga na kombe la ASFC. Akiwa ofisi kwake ? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Janja janja sanaa hawa wazee wa salamanda
 
Ah mbona inasemekana ilo kombe lina ishi pale salamanda...........

Ww ulishawahi kumuon Mo amepiga na kombe la ASFC. Akiwa ofisi kwake ? Janja janja sanaa hawa wazee wa salamanda
Hujui kitu wewe! Mo amewahi amisha makombe yote akaweka ofisin kwake
 
Simba watajuta kwanini walishirikiana na Makonda kumuondoa Manji.
Simba inakwenda kulipa gharama kubwa sana Kwa waliyo yatenda katika mpira wa nchi hii.
Kvipi sheikh wangu ebu fafanua kidogo maana nahisi hata wewe uliyeandika hujaelewa
 
Mimi nachojua kombe ni la gsm na kupitia hersi walituambia wakilikosa tuwaulize wao. Walipolikosa tukawauliza wakatuambia tusubiri msimu ujao. Ssa wamelipata unataka wampe nani kama sio kubaki nalo wao wenyewe waliolitafuta? Hersi yupo sahihi lile kombe wamelinunua kwa pesa yao na siyo yanga.
 
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

β€œAsilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
MAKOLO mtateseka sana mwaka huu,mpka mjinyonge ndo tutawaacha
 
Hujui kitu wewe! Mo amewahi amisha makombe yote akaweka ofisin kwake
Sio kweli ww, kilichotokea ni hiki kaka, pale msimbazi majengo yote yamekodishwa kwa ajili kugenerate income.. sasa kwa kuwa ofisi ina watendanji wapya wengi ikabidi watafutiwe new place ambapo watafanya kazi ktk mazingira tulivu sio kama ya pale kkoo, sote tunajua pale palivyo ..na ndio maana unaona pale sasa almost jengo zima lina wapangaji

Na Mo huwa hazunguki na kombe kama dogo wa MSG, ana kwenda na kombe mpaka studioo ?.imagineeee
 
Yanga ina makombe 28+ hakuna mgombea alie zuiliwa kutembea na kombe aende tu pale makao makuu apatiwe azunguke nalo wala hajavunja sheria yoyote
 
Aaaah!!! kumbe lipo kwa President Hersi,,,, Lipo kwenye Mikono swalama kabisa Sheikh wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…