JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
VIPAUMBELE VYANGU ENG HERSI SAID NIKIWA RAIS WA YANGA
(1) MIUNDOMBINU YA KLABU
(a) Ujenzi wa uwanja wa mechi wenye uwezo wa kubeba watu 20,000-KAUNDA JANGWANI.
(b) Marekebisho ya jengo la klabu-JANGWANI
(c) Kuendeleza TRAINING CENTRE-KIGAMBONI
(2) MABADILIKO YA MUUNDO WA KLABU
Klabu yetu kupitia kwa wanachama walipitisha mfumo wa mabadiliko, Nikiwa mmoja waumini wa mabadiliko hayo, naahidi kuyasimamia na kuyaendeleza mabadiliko hayo kwa mujibu wa KATIBA YETU.
(3) KUIMARISHA UCHUMI wa klabu
Kupitia kwa miradi ya usajili wa wanachana.
Kupitia kwa miradi ya usajili wa washabiki Kuvutia Wadhamini mbali mbali.
Kuvutia wawekezaji.
(4) KUJENGA KIKOSI IMARA CHA KULETA MATAJI NA FURAHA KWA WANA YANGA
(a) LIGI KUU
(b) FA CUP
(c) NGAO YA JAMII
(d) MASHINDANO YA KIMATAIFA
(5) KUJENGA TIMU IMARA, TIMU ZA VIJANA NA WANAWAKE
(a)U-17
(b)U-20
(c) YANGA PRINCESS
(6) Kuongeza USHIRIKIANO baina ya KLABU na wanachama na mashabiki wake, wadau mbali mbali ikiwemo idara za serekali, sekta binafsi, waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla.
Mwanachama wa @yangasc kwa heshima na taadhima naomba KURA YAKO ya NDIO![emoji736]
Vijana Ni Wakati wa Mabadiliko.
Twendeni Pamoja #Eng:Hersi Saidi.
(1) MIUNDOMBINU YA KLABU
(a) Ujenzi wa uwanja wa mechi wenye uwezo wa kubeba watu 20,000-KAUNDA JANGWANI.
(b) Marekebisho ya jengo la klabu-JANGWANI
(c) Kuendeleza TRAINING CENTRE-KIGAMBONI
(2) MABADILIKO YA MUUNDO WA KLABU
Klabu yetu kupitia kwa wanachama walipitisha mfumo wa mabadiliko, Nikiwa mmoja waumini wa mabadiliko hayo, naahidi kuyasimamia na kuyaendeleza mabadiliko hayo kwa mujibu wa KATIBA YETU.
(3) KUIMARISHA UCHUMI wa klabu
Kupitia kwa miradi ya usajili wa wanachana.
Kupitia kwa miradi ya usajili wa washabiki Kuvutia Wadhamini mbali mbali.
Kuvutia wawekezaji.
(4) KUJENGA KIKOSI IMARA CHA KULETA MATAJI NA FURAHA KWA WANA YANGA
(a) LIGI KUU
(b) FA CUP
(c) NGAO YA JAMII
(d) MASHINDANO YA KIMATAIFA
(5) KUJENGA TIMU IMARA, TIMU ZA VIJANA NA WANAWAKE
(a)U-17
(b)U-20
(c) YANGA PRINCESS
(6) Kuongeza USHIRIKIANO baina ya KLABU na wanachama na mashabiki wake, wadau mbali mbali ikiwemo idara za serekali, sekta binafsi, waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla.
Mwanachama wa @yangasc kwa heshima na taadhima naomba KURA YAKO ya NDIO![emoji736]
Vijana Ni Wakati wa Mabadiliko.
Twendeni Pamoja #Eng:Hersi Saidi.