njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti