Hersi usiende kwenye Kamati ya Maadili hawatakugusa, Nchi haitakalika

Hersi usiende kwenye Kamati ya Maadili hawatakugusa, Nchi haitakalika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies

Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa

HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi

wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
 
Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies

Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa

HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi

wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
Siku nyingine ficha ujinga wako
 
Wakijaribu hata kumpa onyo Injinia nakuambia nchi itawaka moto ndipo watajua kwamba yanga ni wananchi
Wananchi hawahawa wa Tz tunaowajua??

Ni lini Tz iliwahi kuwa na wananchi wanaoweza kuuwasha moto na nchi isikalike, au labda ulimaanisha haitakalika mitandaoni kama hivi??
 
Kweli ukitoa Mzee kikwete na Mzee Manara wengine wote hamnazo hadi Eng wenu, alisema msemaji wenu manara.

Hivi kwa akili zako unadhani TFF iko chini ya Yanga, TFF ikishindwa FIFA inafata.
 
Na Manara akiongezewa adhabu tutaanzisha maandamano yasiyokoma, Sisi Yanga tunaonewa sana
 
Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies

Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa

HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi

wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
"Nchi haitakalika" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😹😹😹 tutaanza mandamano kuanzia avic town hadi salamander
 
Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies

Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa

HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi

wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
Kwan haya msukule wenu si mlimdanganya kama ivi lkn simmepoteana
 
Back
Top Bottom