njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Yanga na manara wanaonewa sana, uonevu sasa basiEndeleeni kutiana ujinga
Wakijaribu hata kumpa onyo Injinia nakuambia nchi itawaka moto ndipo watajua kwamba yanga ni wananchiNa hii ndio bongo wanakujaza upepo ukijaa ukaalibu wanapotea
Siku nyingine ficha ujinga wakoEngineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
Wananchi vichaa? Subiri jumatano ya Mwezi ujao petrol 4000/=Wakijaribu hata kumpa onyo Injinia nakuambia nchi itawaka moto ndipo watajua kwamba yanga ni wananchi
hasira za yote hayo wananchi watamalizia manara na injinia wakiguswa , mitaa itawaka motoWananchi vichaa? Subiri jumatano ya Mwezi ujao petrol 4000/=
Wananchi hawahawa wa Tz tunaowajua??Wakijaribu hata kumpa onyo Injinia nakuambia nchi itawaka moto ndipo watajua kwamba yanga ni wananchi
Usikute hujaelewa somo hapaSiku nyingine ficha ujinga wako
"Nchi haitakalika" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
ππππNa Manara akiongezewa adhabu tutaanisha maandamano yasiyokoma, Sisi Yanga tunaonewa sana
Kwan haya msukule wenu si mlimdanganya kama ivi lkn simmepoteanaEngineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti