Hersi usiende kwenye Kamati ya Maadili hawatakugusa, Nchi haitakalika

Nyie nyie mnaoingia uvunguni ukisikia panya road mtaliamsha jwa nani...endeleeni kuyajaza ujinga majamaa yenu mtamkumbuka msola
 
Yanga na manara wanaonewa sana, uonevu sasa basi
Acha ujinga wewe utopolo
Tutawanyoosha washamba nyie

Ole ole wao waache kuja kwenye kamati ole wao wajiloge tuu waache kutia makanyagio yao pale kwa pilato

Ooohoo watajuta endelea kuwajaza ujinga wako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakijaribu hata kumpa onyo Injinia nakuambia nchi itawaka moto ndipo watajua kwamba yanga ni wananchi
Labda Moto wa mabua
Sasa nakuambia ole wao wajiloge tuu waache kutia makanyagio yao pale kwa pilato

Tunataka kuona huo moto wenu
Wajinga nyie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakika hatutakubali, tutakiwasha balaa sisi yanga ndo wenye nchi.
 
Sisi Yanga tunaonewa sana,tutalianzisha bora tufungiwe na FIFA tukose wote
 
We manara huna akili.
Na kwa kuwa unaowalisha upumbavu ni wajinga kama wewe ,wanaweza kukusikiliza
 
Na hii ndio bongo wanakujaza upepo ukijaa ukaalibu wanapotea
Umenikumbusha kipindi tunasoma kuna jamaa aliitwa ofisini kwa HM sa wadau wakampampu kwamba usiende usiende akikuzingua tunakinusha, baada ya mda mwalimu wa nidham akamfata jamaa akambeba msobe msobe jamaa akala mbata za kufa mtu na susp ya siku 21 na hakuna hata mmoja alisimama kumtetea ndo nkakumbuka msemo together we stand alone you suffer
 
Hao ndio wabongo mwingine wakutoa ushuhuda ni Mange na Mbowe
 
Bugatti akiongezewa adhabu TFF patachimbika litabakia shimo tu pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…