Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Si kweli,nimesoma maelezo ya herufi nyingi hapo si kweli labda umetafiti ktk ukoo wenu but IT IS WRONG,VERY WRONG hata erufi ya jina langu umechemka vibaya sijui umetoa wapi idea hizi

Wa Tanganyika bhana...!!
Sasa weunapo lalamika sikweli unamlalamikia nani?
Kataa au lalamika kwa hoja basi nawe tukuelewe.
 
Uko sahihi mkuu kibo,,shukrani kwa kutujuza!Hata wewe linaanza na herufi K,yaliyosemwa ni sahihi kabisa
 
Last edited by a moderator:
My name
is start with Q . It QUARESSI give meaning. It will give me yes or no. ?
 
hiyo herufi Ya J na N na S kuna watu copyright aisee
 
Mkuu Salut! husb ni H,uliyoeleza hapo ni kweli tupu,jamaa ni mbinafsi sijapata kuona
 
Si kweli,nimesoma maelezo ya herufi nyingi hapo si kweli labda umetafiti ktk ukoo wenu but IT IS WRONG,VERY WRONG hata erufi ya jina langu umechemka vibaya sijui umetoa wapi idea hizi

Naona umekutana na Herufi ambayo maana yake hukutegemea ndo maana umekuwa mkali kama pilipili. Mi naona jamaa alichoandika kwa asilimia kubwa kuna ukweli. Jifunze kukubali ndugu hata kama ni chungu.
 
Tabia ziko general mno kiasi kwamba unajikuta mtu unafit. Na zaidi waweza beba vijitabia vya herufi zingine 8 au hata 12 kama sio zote.

I am not buying this.
 
Una source yoyote mkuu? Kama ni utafiti umeufanyia wapi, lin nchi zip? Kama ni mawazo yako mtu anauhuru wa kutoa maoni, ila kwa utabiri uko 100perc wrong!!
 
Back
Top Bottom