Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Si kweli,nimesoma maelezo ya herufi nyingi hapo si kweli labda umetafiti ktk ukoo wenu but IT IS WRONG,VERY WRONG hata erufi ya jina langu umechemka vibaya sijui umetoa wapi idea hizi

Kweli mangifi hamkosekani
 
Una source yoyote mkuu? Kama ni utafiti umeufanyia wapi, lin nchi zip? Kama ni mawazo yako mtu anauhuru wa kutoa maoni, ila kwa utabiri uko 100perc wrong!!

Mbona umekuwa mkali kama pilipili au herufi yako imekuchafua?
Usipaniki mkuu kawaida
 
ungekua ata na riference ungenishawishi au mfano wa mtu kama E lowasa apo kwenye herufi E mkuu haendan kabisa na hayo maelezo ni wazi kwamba umekurupuka usingizin ukakosa kitu cha kukuweka bize ukatunga hii kitu ukaona ni vyema kupotosha watu

Waswahili mnamatatizo sana sijuwi kuna mtu kakushiki bakora kusoma na kukubali
Au nimekugusa ndio maana unalalama
Lowasa aje asome mwenyewe aone kama sijamgusa
 
Uongo mtupu, hakuna kitu hapo, unaongozwa na hisia tu.
 
Duuu, nimeitafuta herufi V sijaiona, nilitamani sana nione wana tabia gani.
 
Duuu, nimeitafuta herufi V sijaiona, nilitamani sana nione wana tabia gani.

Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara pia anaendekeza usiano nje ya ndoa
 
Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara pia anaendekeza usiano nje ya ndoa

rekebisha sentence ya mwisho
 
Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara pia anaendekeza usiano nje ya ndoa

W sijamwona, baelezee hapa
 
Kuna ukweli mana hata Bible imeandika jinsi jina la mtu lilivyo ndivyo alivyo mtu mwenyewe . Jina langu linaanza na A najaribu kujitathmini na tabia zilizoorodheshwa hapo juu ni kweli
 
Umeeleweka kiongozi

Na kuonyesha kama nimeelewa ipasavyo, nasisitizia na hii hapa.....

HERUFI S
Mwenye jina linaloanzia na herufi S ni mtu mwenye mvuto mkali wa kuleta utajiri. Ni watu wenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa.

Sasa sijajua kwa wale wenye majina zaidi ya moja inakuwaje? Hapa simaanishi mambo ya ID za JF, la hasha yale majina yetu halisi.
 
Mbona V, W X Y Z hakuna
 
Kwa asilimia kubwa kuna ukweli kabisa juu ya utafiti huu! Congratulation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…