Reason;
Namba ulizopewa zinazotakiwa kuingia kwa hizo box ni witiri (zisizogawanyika kwa mbili),
Na idadi ya vibox nayo ni witiri pia. Sasa basi kikanuni huwezi kuchukua namba nyingi ambazo ni witiri zote kwa idadi ya namba witiri ukazijumlisha uje upate namba Shufwa.
Ingekua idadi ya vibox ni Shufwa hapo sawa ingewezekana. Mfano 1+3+5+7+9+11=26 ambayo ni Shufwa. Hii imewezekana sababu idadi ya namba zilizojumlishwa hapa ni namba zipatazo 6 ambayo ni shufwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.