Nimepewa swali la hesabu na mtoto wa darasa la nne, nimeumiza kichwa kutafuta jibu nimeshindwa, na imebidi nimdanganye kuwa ni ya chuo kikuu! Hesabu yenyewe ipo hivi:
"watu 3walikula mgahawani gharama zikawa sh.25@1. Walimpatia mhudumu sh. 75. Kaunta alimpa sh. 5 mhudumu na kumtaka awarudishie wateja hao kwani amewapa punguzo. Mhudumu wakati akiwaendea aliwaza vipi atazigawa sh. 5 kwa watu 3, hivyo akaficha sh.2 na kuwagawia sh.1 kila mtu. Sasa kila mmoja alitoa sh.24 na 24x3=72. Ukijumlisha ile sh.2 aliyochukua muhudumu zinakuwa jumla 74. Sasa ile sh.1 ipo wapi?"
Watu 10 x 10 - 1 = 99Jamani na mie narusha ka-hesabu kangu haka.....
At the end of a banquet 10 people shake hands with each other. How many handshakes will there be in total?
Mkuu, umefanya kosa moja kubwa sana kimahesabu.
Jamaa kama aliwarudishia shilingi 1, kila mtu ni kweli katoa sh.24 na hii inatoa jumla ya shilingi 72. Kama gharama ilikuwa shilingi 70, ina maana shilingi 2 ndiyo kavuta mhudumu. Ukichukua mbili na kujumlisha 3 unapata 75.
Jamani na mie narusha ka-hesabu kangu haka.....
At the end of a banquet 10 people shake hands with each other. How many handshakes will there be in total?
Jamani na mie narusha ka-hesabu kangu haka.....
At the end of a banquet 10 people shake hands with each other. How many handshakes will there be in total?
Nimepewa swali la hesabu na mtoto wa darasa la nne, nimeumiza kichwa kutafuta jibu nimeshindwa, na imebidi nimdanganye kuwa ni ya chuo kikuu! Hesabu yenyewe ipo hivi:
"watu 3walikula mgahawani gharama zikawa sh.25@1. Walimpatia mhudumu sh. 75. Kaunta alimpa sh. 5 mhudumu na kumtaka awarudishie wateja hao kwani amewapa punguzo. Mhudumu wakati akiwaendea aliwaza vipi atazigawa sh. 5 kwa watu 3, hivyo akaficha sh.2 na kuwagawia sh.1 kila mtu. Sasa kila mmoja alitoa sh.24 na 24x3=72. Ukijumlisha ile sh.2 aliyochukua muhudumu zinakuwa jumla 74. Sasa ile sh.1 ipo wapi?"
Jamani na mie narusha ka-hesabu kangu haka.....
At the end of a banquet 10 people shake hands with each other. How many handshakes will there be in total?
Nimepewa swali la hesabu na mtoto wa darasa la nne, nimeumiza kichwa kutafuta jibu nimeshindwa, na imebidi nimdanganye kuwa ni ya chuo kikuu! Hesabu yenyewe ipo hivi:
"watu 3walikula mgahawani gharama zikawa sh.25@1. Walimpatia mhudumu sh. 75. Kaunta alimpa sh. 5 mhudumu na kumtaka awarudishie wateja hao kwani amewapa punguzo. Mhudumu wakati akiwaendea aliwaza vipi atazigawa sh. 5 kwa watu 3, hivyo akaficha sh.2 na kuwagawia sh.1 kila mtu. Sasa kila mmoja alitoa sh.24 na 24x3=72. Ukijumlisha ile sh.2 aliyochukua muhudumu zinakuwa jumla 74. Sasa ile sh.1 ipo wapi?"
Jamani na mie narusha ka-hesabu kangu haka.....
At the end of a banquet 10 people shake hands with each other. How many handshakes will there be in total?
Wamelipa........75
Wamerudishiwa........5-2=3
Hivyo wamelipa Sh 73 na sio Sh 72
Na mchango wa Kila mmoja utakuwa 73/3= 24.33
Muhudumu kazuia mbili Sh mbili ya watu watatu ni sawa na 2/3= 0.67
24.33
+ .67
25.00 x 3= 75@3
Hebu cheki hiyo bold vizuri!!!Wamelipa........75
Wamerudishiwa........5-2=3
Hivyo wamelipa Sh 73 na sio Sh 72
Na mchango wa Kila mmoja utakuwa 73/3= 24.33
Muhudumu kazuia mbili Sh mbili ya watu watatu ni sawa na 2/3= 0.67
24.33
+ .67
25.00 x 3= 75@3
Kwa nini toa moja?Watu 10 x 10 - 1 = 99