TWANJUGUNA
Member
- Jun 6, 2010
- 28
- 1
kweli 1 hadi 5 ni sawa. kuanzia sita ndiko kunahitaji wanachuo waangazie.
GIKUYU EMBU KAMBA
MERU (eastern kenya bantus)
1. imwe
2. iiri, igiri,eri
3. itatu, ithatu
4. ina, inya
5. itano, ithano
6. itandatu, ithanthatu, ithathatu
7. muanza, mugwanja.
8. inana, inyanya
9. kenda
10. ikumi
11. ikumi na imwe...
30. miongo-itatu
XLINGALA
1. moko
2. mibale
3. misato
4. minei
5. misano
6. motoba
7. sambo
8. lisa
9. libwa
10. zomi
11. zomi na moko...
30. tuku-misato
kweli 1 hadi 5 ni sawa. kuanzia sita ndiko kunahitaji wanachuo waangazie.
[/COLOR][/B]
kweli nadhani kuna maana kubwa sana na hizo ndizo elimu ambazo wababntu Tunazimisi, ipo logic na labda ungeweza kuwa msingi mkubwa wa maendeleo yetu, kwa nini wababntu almost wote walikuwa na almost common names kwa namba moja mpaka tano?