TWANJUGUNA
Member
- Jun 6, 2010
- 28
- 1
unapojifunza lugha nyingi, msamiati wa kwanza huwa tarakimu moja hadi kumi. lakini wajua kuwa neno la herufi 3 ni karibu sawa katika asilimia 70 ya lugha za ki-bantu?
wajua kuwa lugha nyingi huwa base 10- yaani ni mafungu ya kumi kumi. ishirini ni mafungu ya kumi mara mbili, mia ni makumi kumi.....lakini kunayo lugha moja ya ki-bantu ya base 5.kwa mfano 6 ni isano na imo (5+1), 7 is isano na ibere.
wajua kuwa lugha nyingi huwa base 10- yaani ni mafungu ya kumi kumi. ishirini ni mafungu ya kumi mara mbili, mia ni makumi kumi.....lakini kunayo lugha moja ya ki-bantu ya base 5.kwa mfano 6 ni isano na imo (5+1), 7 is isano na ibere.