Hesabu mpya Simba ameshafuzu kwenda robo fainali

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Ni mimi wako UWESUTANZANIA✍️
Najua utastaajabu kwanini nakwambia ameshafuzu. Hesabu hiko ivi:-

Kwanza kabisa unapaswa kutambua kuwa simba ana point 9 huku adui yake namba moja ni blavos mwenye point 6.

Simba mpaka sasa anahitaji hata sare pekee nyumbani kwa Bravos awe amefuzu moja kwa moja. Yaani wakitoa sare msimamo unakuwa hivi

Simba pts 10
Bravos pts 7

Hivyo basi hata blavos akishinda mchezo wake wa mwisho na simba akifungwa kwa mkapa mchezo wake wa mwisho msimamo unakuwa hivi

Simba pts 10
Blavos pts 10

Hapa pia simba anakuwa kafuzu kwa ile faida yake ya H2H ambayo CAF wanaanza kuiangalia kwanza.

Ili Simba iwe na ugumu kidogo ni kufungwa nyumbani kwa bravos goli zaidi ya moja na kupoteza mchezo wa mwisho.

NB: Siioni bravos ya kufanya hivyo. Wala siioni simba ya kufungwa nyumbani. Muwe na siku njema
 
 
hesabu zote hizo za nini? ukikosa uzi wa kuanzisha bora uwe unaenda hata kwenye vijiwe vya kahawa unawapa hizi hesabu,watakuona bonge la mjanja ili hali huku tunakupopoa mawe.
 
Kumbe na wao wanatumia calculator.
 
Maelezo yako yooootee yanauwawa na sentensi yako ya mwisho..!!! Hiyo Bravo ukiiona tu inafanya hivyo, basi, hesabu zako kwisheiiii...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…