OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nirelax au nikuonee huruma?Relax bro hapa anazungumziwa Simba,Yanga anaingiaje kwenye mijadala ya Simba au ww ni mammluki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nirelax au nikuonee huruma?Relax bro hapa anazungumziwa Simba,Yanga anaingiaje kwenye mijadala ya Simba au ww ni mammluki
Umuonee huruma nani!?Nirelax au nikuonee huruma?
Mjumlishe na huyo kwenye yale magazijuto.Umuonee huruma nani!?
Ngoja tukupe hesabu.Mjumlishe na huyo kwenye yale magazijuto.
Mkishinda mechi ile OKW BOBAN SUNZU atahuzunika Sana na MC Alger anyang'anywe pointi na akija dar wachezaji wake 8 waambiwe wana corona hapo mtawafunga mabao matano😄😀😆
Bila ya magazijuto maisha ya mwanayanga hayawezi kuwa na furaha.
Simba akifungwa kesho naye safari ndo imeishia hapoSisi wengine washinde sisi tukishinda haituhusu. Simba mechi ya kesho wakitoa droo tayari gemu imeishia hapo mechi ya mwisho itakuwa kugombea kuongoza kundi. Na wakifungwa Bado gemu ya mwisho inaweza kuamua
Ila Yanga wakifungwa kesho safari itakuwa imeishia hapo.