Kutoka Mirembe
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 294
- 87
Hello waungwana!
Imekuwa ikisemekana kuwa hesabu na masomo ya Sayansi ni ngumu sana na ugonjwa wa taifa!
Lakini kwa uzoefu wangu,nimegundua shida kubwa ipo katika mtazamo tunao jengewa na kujijengea toka ngazi ya awali kabisa.
Sifa kubwa ya hesabu ni kutegemeana kwa topic toka darasa la kwanza hadi University!
Hivyo,kuna umuhimu wa kuwajengea watoto wetu mapenzi na hesabu toka wakiwa darasa la kwanza.
Kwa mliopo ngazi za juu,na unaona hesabu kama janga kubwa,hamjachelewa bado!
Shida kubwa ipo kwenye mtazamo.
Jaribu kuilazimisha akili yako kuwa hesabu si kitu cha ajabu,halafu anza kujifunza basics zake taratibu.
WIMBO
Hesabu,ni nzuri sana wee,
hesabuu,ni nzuri sana wee..
We mwalimu we mwalimu nifundishe.X2
Ukisha nifundisha,siwezi kusahau,
ee mwalimu,ee mwalimu nifundishee.
Kutoka Mirembe.
Imekuwa ikisemekana kuwa hesabu na masomo ya Sayansi ni ngumu sana na ugonjwa wa taifa!
Lakini kwa uzoefu wangu,nimegundua shida kubwa ipo katika mtazamo tunao jengewa na kujijengea toka ngazi ya awali kabisa.
Sifa kubwa ya hesabu ni kutegemeana kwa topic toka darasa la kwanza hadi University!
Hivyo,kuna umuhimu wa kuwajengea watoto wetu mapenzi na hesabu toka wakiwa darasa la kwanza.
Kwa mliopo ngazi za juu,na unaona hesabu kama janga kubwa,hamjachelewa bado!
Shida kubwa ipo kwenye mtazamo.
Jaribu kuilazimisha akili yako kuwa hesabu si kitu cha ajabu,halafu anza kujifunza basics zake taratibu.
WIMBO
Hesabu,ni nzuri sana wee,
hesabuu,ni nzuri sana wee..
We mwalimu we mwalimu nifundishe.X2
Ukisha nifundisha,siwezi kusahau,
ee mwalimu,ee mwalimu nifundishee.
Kutoka Mirembe.
Last edited by a moderator: