bonna
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 855
- 519
Nadhani Mkeo ndie Yuko sahihi,
1: kuhonga 7m ili uanze kulipa kodi ya 200k from 400k sio hesabu kabisa hahaha, gawanya hio 7m kwa laki 2 ambazo unaona ume save, utapata miezi 35. ukimaliza hii ndo utaweza kusema umeokoa gharama... tofauti na hapo laki 2 ulo save kodi ushaihonga.
2:kujenga ni kuzika pesa, USIKOPE KWA AJILI YA KUJENGA unless huo mkopo hauna riba. lakini still bado sio wise decision kukopa ili ukanunue tofali.
Issue nayoona hapa una ego. na hii ndo inaweza kuku cost. curb your ego, fuata ushauri wa mkeo jenga servant qrt hamia.. endelea ujenzi unaotaka polepole bila stress za kodi huku ukisimamia kinachoendelea site mwenyewe
1: kuhonga 7m ili uanze kulipa kodi ya 200k from 400k sio hesabu kabisa hahaha, gawanya hio 7m kwa laki 2 ambazo unaona ume save, utapata miezi 35. ukimaliza hii ndo utaweza kusema umeokoa gharama... tofauti na hapo laki 2 ulo save kodi ushaihonga.
2:kujenga ni kuzika pesa, USIKOPE KWA AJILI YA KUJENGA unless huo mkopo hauna riba. lakini still bado sio wise decision kukopa ili ukanunue tofali.
Issue nayoona hapa una ego. na hii ndo inaweza kuku cost. curb your ego, fuata ushauri wa mkeo jenga servant qrt hamia.. endelea ujenzi unaotaka polepole bila stress za kodi huku ukisimamia kinachoendelea site mwenyewe