Hesabu ya timu 4 Tanzania bado kidogo

Hesabu ya timu 4 Tanzania bado kidogo

YANGA pamoja na kuongeza pointi 3 kwa miaka yote walioshiriki wanastahili pongezi kwani tusingekuwa na pointi 18.
Zimechanganywa na zao 3.
 
6c5253fa-8ef8-44be-88c1-73b5d6f43597.jpg
 
Yanga wameongezea points hapo tuwapongeze pia pamoja na ukata wao, ingekuwa points 15 tu za simba zisingetosha mjue
Ha ha haaa! Hongera Yanga kwa kuchangia point tatu miaka nenda rudi ya uwakilishi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Washindani wetu ni walewale wa kila siku -kenya

Sent using simu mbovu
 
Back
Top Bottom