Hahahaaaaaa acha tu mkuuDuh pamoja na Maelezo yaliyonyooka vile hujamuelewa.
Kweli dunia siyo fair kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwaje Point Za Champion League Na Comfederation Zifanane
haelewi labda umsomee.Rudia kusoma.
Ha ha haaa! Hongera Yanga kwa kuchangia point tatu miaka nenda rudi ya uwakilishiYanga wameongezea points hapo tuwapongeze pia pamoja na ukata wao, ingekuwa points 15 tu za simba zisingetosha mjue
Mbona hazionekani points za Tanzania?
Rudia kusoma.
Wewe mke tu kuletewa pesa ya matumizi sio chaguo lako ni wajibu wa mume wako. Wewe bakia nyumbani upike na kupakua.Fungwa Mikia FC hatutaki vya bure.
Mikia FC.Wewe mke tu kuletewa pesa ya matumizi sio chaguo lako ni wajibu wa mume wako. Wewe bakia nyumbani upike na kupakua.
Ujinga.Huko shule sijui walienda kujifunza nini?
Hazifanani,Inakuwaje Point Za Champion League Na Comfederation Zifanane
Safi! Hatimaye wawakilishi wa Tz wataongezeka