Hesabu za Ibenge zimemtokea puani

Hesabu za Ibenge zimemtokea puani

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Baada ya kocha wa Al Hilal Florent Ibenge kusemekana kupokea mlungula kutokea kwa uto ili kuwapa uto uhai na matumaini ya kufuzu kwenda robo fainali, aliangaliaaa misimamo ya makundi mengine akawa na maamuzi ya kufanya.

Kwanza ni maamuzi ya kuonyesha kwamba timu imeshuka kiwango ili kuaminisha watu kuwa alifungwa na uto kihalali. Pili lilikuwa ni suala la kwenye robo fainali anamtaka nani au amkwepe nani.

Baada ya maswali haya mawili, akaamua ajilipue afungwe na TP Mazembe na wakatandikwa kweli goli 4-0. Lengo likawa ashike nafasi ya pili na azma yake kwenye masuala hayo mawili itimie.

Pia nimejifunza kitu cha ziada, Ibenge alijua uto inajisumbua na isingetoboa mbele ya MC Algier. Aliamini MCA ilikuwa inaenda kushinda mechi ya Dar na kuongoza kundi. Jamaa anaijua uto kama kiganja cha mkono wake na alikuwa na uwezo wa kuimaliza shughuli kule kule Mauritania libaki tu suala la kusafirisha maiti.

Bahati mbaya kwake alitegemea Al Ahly aliyekuwa anacheza nyumbani dhidi ya Orlando Pirates angeenda kushinda na kuongoza kundi lake kwa hivyo Ibenge awakwepe hao miamba hatua ya robo fainali. Al Ahly akapigwa na Orlando na kuishia nafasi ya pili. Kwenye robo fainali Ibenge anaweza kwenda kukutana na yule aliyetaka kumkwepa!

Pesaaa....Pesaaa.....
 
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita malofa
Mangungu akamleta Manzoki kwenye mkutano mkuu, ili mbumbumbu wapige nae picha
Hongera kwa kufika robo fainali

1000041951.jpg
 
Baada ya kocha wa Al Hilal Florent Ibenge kusemekana kupokea mlungula kutokea kwa uto ili kuwapa uto uhai matumaini ya kufuzu kwenda robo fainali, aliangaliaaa misimamo ya makundi mengine akawa na maamuzi ya kufanya.

Kwanza ni maamuzi ya kuonyesha kwamba timu imeshuka kiwango ili kuaminisha watu kuwa alifungwa na uto kihalali. Pili lilikuwa ni suala la kwenye robo fainali anamtaka nani au amkwepe nani.

Baada ya maswali haya mawili, akaamua ajilipue afungwe na TP Mazembe na wakatandikwa kweli goli 4-0. Lengo likawa ashike nafasi ya pili na azma yake kwenye masuala hayo mawili itimie.

Pia nimejifunza kitu cha ziada, Ibenge alijua uto inajisumbua na isingetoboa mbele ya MC Algier. Aliamini MCA ilikuwa inaenda kushinda mechi ya Dar na kuongoza kundi. Jamaa anaijua uto kama kiganja cha mkono wake.

Bahati mbaya kwake alitegemea Al Ahly aliyekuwa anacheza nyumbani dhidi ya Orlando Pirates angeenda kushinda na kuongoza kundi lake kwa hivyo Ibenge awakwepe hao miamba hatua ya robo fainali. Al Ahly akapigwa na Orlando na kuishia nafasi ya pili. Kwenye robo fainali Ibenge anaweza kwenda kukutana na yule aliyetaka kumkwepa!

Pesaaa....Pesaaa.....
Kocha anawapenda Dube na Msonda kama wewe una akili je Said ana uwezo?
 
Baada ya kocha wa Al Hilal Florent Ibenge kusemekana kupokea mlungula kutokea kwa uto ili kuwapa uto uhai na matumaini ya kufuzu kwenda robo fainali, aliangaliaaa misimamo ya makundi mengine akawa na maamuzi ya kufanya.

Kwanza ni maamuzi ya kuonyesha kwamba timu imeshuka kiwango ili kuaminisha watu kuwa alifungwa na uto kihalali. Pili lilikuwa ni suala la kwenye robo fainali anamtaka nani au amkwepe nani.

Baada ya maswali haya mawili, akaamua ajilipue afungwe na TP Mazembe na wakatandikwa kweli goli 4-0. Lengo likawa ashike nafasi ya pili na azma yake kwenye masuala hayo mawili itimie.

Pia nimejifunza kitu cha ziada, Ibenge alijua uto inajisumbua na isingetoboa mbele ya MC Algier. Aliamini MCA ilikuwa inaenda kushinda mechi ya Dar na kuongoza kundi. Jamaa anaijua uto kama kiganja cha mkono wake na alikuwa na uwezo wa kuimaliza shughuli kule kule Mauritania libaki tu suala la kusafirisha maiti.

Bahati mbaya kwake alitegemea Al Ahly aliyekuwa anacheza nyumbani dhidi ya Orlando Pirates angeenda kushinda na kuongoza kundi lake kwa hivyo Ibenge awakwepe hao miamba hatua ya robo fainali. Al Ahly akapigwa na Orlando na kuishia nafasi ya pili. Kwenye robo fainali Ibenge anaweza kwenda kukutana na yule aliyetaka kumkwepa!

Pesaaa....Pesaaa.....
Soka ni fursa kubwa sana!
 
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita malofa
Mangungu akamleta Manzoki kwenye mkutano mkuu, ili mbumbumbu wapige nae picha
Hasanoo aliwaita Mabaamed viongozi wao wanajua wanawaongoza watu wa aina gani
 
Back
Top Bottom