Hesabu za Ibenge zimemtokea puani

Hesabu za Ibenge zimemtokea puani

Dah nilisema mahesabu ya Ibenge yamebugi, leo yametimia. Alitaka kumkimbia Al Ahly kaenda kukutana naye.
Lakini si alishakula pesa za gongo wazi inatosha.
Hata wakitolewa pesa ishaingia.

Uto wamegharamika sana kuitafuta robo na wameikosa.🤣🤣
Hasara juu ya hasara.
 
Back
Top Bottom