JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Habari Wadau! Hapo chini ni kipande cha maelezo ya umeme nilionunua kwenye simu.
Nimejaribu kupiga hesabu hizo asilimia hapo chini za VAT, REA na EWURA zote zinaonekana zimepigiwa hesabu kutoka kwenye shilingi 4098. Kwa gharama ya shilingi 5000, unaweza ona karibu shilingi 902 haipo hapo.
Sasa naomba mwenye kuelewa hizi hesabu zinapigwa vipi anisaidie. Yaani mchakato mzima hapo. Ahsante.
14.0KWH
0592 7638 3409 4517 9226
Cost 4,098.37
VAT 18% 737.70
EWURA 1% 40.98
REA 3% 122.95
TOTAL 5,000.00
Updates:
Nimejaribu kupiga hesabu hizo asilimia hapo chini za VAT, REA na EWURA zote zinaonekana zimepigiwa hesabu kutoka kwenye shilingi 4098. Kwa gharama ya shilingi 5000, unaweza ona karibu shilingi 902 haipo hapo.
Sasa naomba mwenye kuelewa hizi hesabu zinapigwa vipi anisaidie. Yaani mchakato mzima hapo. Ahsante.
14.0KWH
0592 7638 3409 4517 9226
Cost 4,098.37
VAT 18% 737.70
EWURA 1% 40.98
REA 3% 122.95
TOTAL 5,000.00
Updates: