Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Wanahesabu muda saa dakika sekunde tangu umezaliwa sio miezi, rotation ndio ipo hivyo wakijumlisha ilete siku 365 ambayo ni sawa na mwaka 1 ndio maana ukizaliwa tu inawekwa rekodi ulizaliwa saa ngap siku gan na wapi.SWALI
Sasa pale kwenye tisa ya tumboni na huku kumi na mbili mbona kama tunaiba miezi mitatu isiyo husika katika umri wetu au nyie mnaonaje ?
Hujaelewa swali acha ujuaji.Wanahesabu muda saa dakika sekunde tangu umezaliwa sio miezi, rotation ndio ipo hivyo wakijumlisha ilete siku 365 ambayo ni sawa na mwaka 1 ndio maana ukizaliwa tu inawekwa rekodi ulizaliwa saa ngap siku gan na wapi.
Acha kukariri.
404: Page Not Found
Box kabisa weweHuna akili
Haaa haaa haaa jinga kabisa, vipi nikutafute na wewe unidunde?Box kabisa wewe
Nshomile wa Muleba akudunde tena
Post code 67208Haaa haaa haaa jinga kabisa, vipi nikutafute na wewe unidunde?
MJINGA WEWE TENA WALIMU WAKO NA WAZAZI WAKO WAMEKULA HASARA 🚮🚮🚮Hujaelewa swali acha ujuaji.
Soma kwa kutulia.
Unataka kupigwa mimba? Upigwe mimba basi ili ufanye research yako vizuriMimba hadi kuzaliwa miezi ni Tisa.
We ushapigwa Mwanetu ?Unataka kupigwa mimba? Upigwe mimba basi ili ufanye research yako vizuri
Soma tena mwanetuUmeshasema ni BIRTHDAY (siku ya kuzaliwa) sasa ukiwa tumboni tayari unakuwa ushazaliwa?
Unajua maana ya hili neno BIRTHDAY ?
Same to youMJINGA WEWE TENA WALIMU WAKO NA WAZAZI WAKO WAMEKULA HASARA 🚮🚮🚮
Bi. Nzungu nekuja venyeweWanahesabu na kipindi mama anamzungusha baba kumpa mzigo [emoji12]
Umeshasema ni BIRTHDAY (siku ya kuzaliwa) sasa ukiwa tumboni tayari unakuwa ushazaliwa?
Unajua maana ya hili neno BIRTHDAY ?
Endelea kusikitikaUmenisikitisha sana, kabisa umekaa ukafikiri weee ukaona uje na huu utopopo..