HESABU ZINAKATAA .......Inakuaje sasa wandugu au changa la macho??


Kumbe bibie una ma-point kweli, na hiyo ndo sababu ya jamaa kusitsita coz demu anamkia wa nguvu so jamaa hajiamini kama yupo alone na anahofu labda Mileage inasoma sana karibu kila siku na huenda kabambikiwa tu!

Nakupa thanks mammy japo MODS kitufe cha thanks wamekitoa!!!
 
Ndugu usikwepe majukumu

Sio kukwepa Bibie unajua nyie wanawake mna SIRI kubwa sana ya kujua nani ni baba halali wa mtoto, huwa hamkawii kutuzalia watoto wa kichina ukasema alifanana na Bibi mzaa bibi wa kwa shangazi mkubwa!! hahahhaa
 

wameweka cha like, unaweza kuendelea hapo, ha haaaaaaaa.
kwa kweli wadada wa hivyo wapo wengi sana. kuna mwingine ali-do na mtu mwezi dec, kumbe alimiss na jamaa hakutokea tena, 4 months baadae akapata mimba huko alikoipata bado anamng'ang'ania jamaa kuwa ni mimba yake. sijui twaenda wapi!
 
Mpendwa Husninyo,

Asante kwa maelezo, but ni siku ya sita tangu aanze MP, sasa hapo ndo hesabu zinakuwa ngumu! ingekuwa 6 tangu amalize MP hiyo inaeleweka vema.

kama ni siku sita kuna siku 4 kufikia danger zone na mbegu za kiume husurvive siku 3 kama sikosei kwahiyo.
Kwa case yako ni ngumu labda kama mdada hajahesabu siku vizuri au awe mzunguko wake tofauti na watu wengi maana haya mambo nayo hayapo constant na kutegemea calender tu hatari yake ndio hiyo.
Ngoja niwaandalie pampers.
 

Sawa mkuu, nimekusoma vema, lakini usiwe mkali sometimes dah!! hadi nilitamani kukumbia jukwaaa!!! Ok, nitakutafuta kwa ajili ya hizo pampers maana maandalizi ni muhimu kuanza mapema!! na pia usisahau kupendekeza jina mkuu!!!
 
wakuu tusiconfirm tu

Hilo lililokula mzigo lituambie lilikua mzigo au lilifanya mapenzi? kama lilikula mzigo basi litalea kizigo, kama lilifanya mapenzi basi lirudi likaangalie kalenda na kujipanga

DNA should be the last option
 
wakuu tusiconfirm tu

Hilo lililokula mzigo lituambie lilikua mzigo au lilifanya mapenzi? kama lilikula mzigo basi litalea kizigo, kama lilifanya mapenzi basi lirudi likaangalie kalenda na kujipanga

DNA should be the last option

Hahahahaha wewe kweli ni JANJAWEED! hahhaha unataka ku-mfanya nini huyo jamaa?? hahaha
 
hyo mashine ya dna tz ipo moja na imejaa ukiritimba mpaka balaa...mlolongo mreeef af tech staff wenyewe duh!
:amen:
 
Sawa mkuu, nimekusoma vema, lakini usiwe mkali sometimes dah!! hadi nilitamani kukumbia jukwaaa!!! Ok, nitakutafuta kwa ajili ya hizo pampers maana maandalizi ni muhimu kuanza mapema!! na pia usisahau kupendekeza jina mkuu!!!

jamani! Hivi nimekuwa mkali eeh, sikupenda iwe hivyo! Pole sana, tupo pa1.
 
jamani! Hivi nimekuwa mkali eeh, sikupenda iwe hivyo! Pole sana, tupo pa1.

Asante but now nimekusoma vema, wewe ni mama ushauri mzuri sana so nashukuru sana mkuu!
 
Sawa mkuu, nimekusoma vema, lakini usiwe mkali sometimes dah!! hadi nilitamani kukumbia jukwaaa!!! Ok, nitakutafuta kwa ajili ya hizo pampers maana maandalizi ni muhimu kuanza mapema!! na pia usisahau kupendekeza jina mkuu!!!
Alaa! kumbe ni wewe mwenyewe hahaha!
 
Hili swali nishalichoka.
Unauliza siku ya sita baada ya kumaliza mp au siku ya sita tangu aanze mp?
Kama ni siku ya 6 tangu amalize jibu ni mimba anayo (4 alizokuwa mp+6=10), Maana mimba ni siku ya 10-16 tangu kuanza mp.

Tafadhali soma Anatomy and Physiology kwenye topic ya reproduction system kisha uje kuwapa maharifa wana jf
 
kweli inhitaji UANAUME kwa mtu kuwa baba, watu wanapenda kuchomeka kavu kavu wakiambiwa mimba ohh tulihesabu, nimesingiziwa na memngine mengi. Bt ukweli ni kuwa mapenzi ya siku hizi hakuna kuaminiana kabisa inawezekana kabisa huyo jamaa mimba ni yake lakini pia ianwezeka huyo dada anafuta pa kuhemea,all in all kulea mimba si kazi kazi kulea mwana,kubali mimba inshallah mtoto akizaliwa DNA ili upate uhakika. kwani wewe wasiwasi wako nini ukkuibali mimba? huyo dada analazimisha ndoa bz of mimba? kama dada anataka ndoa basi hapo ndugu akili ku kumkichwa,suburi azae mpime
 

Ongea pole pole basi, mbona unawachongea watoto wa wenzio? Na kwa nini unazungukwa na marafiki design hiyo? Maana mpaka ujue mambo ya ndani hivyo it is likely they are your friends?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…