Hesabu zinambeba Yanga SC kuwa bingwa CAFCC 2023

kutoka robo fainali mpk fainali!!!ngoja tuone hii...kye kye kyeee
 
Hizi ndio ndoto za saa saba mchana na nusu mchana.
 
Kwa hiyo ndio unajivunia kuwa kwenye kombe la walioshindwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnaogopa challenge🫣🫣

Nyie kweli mmedumaa[emoji848][emoji848]
 
Hayo Mashindano yenu yenyewe hayana semi final🤣🤣🤣🤣
 
Hiko ndiko ninachokiona huko mbeleni.
 
Kwa hiyo ndio unajivunia kuwa kwenye kombe la walioshindwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnaogopa challenge🫣🫣

Nyie kweli mmedumaa[emoji848][emoji848]
Challenge ya kwenye LIGI KUU tu imewashinda.

Huko sijui mna challeng nini....
 
Na hata ukiangalia matokeo kwa kumla, yaani timu zote zilizo kwenye "LUZA KAP", ukizipanga kwenye msimamo mmoja mpaka hatua hii ya mzunguko wa 5, UTO watakuwa nafasi ya pili kwa kuzidiwa utofauti wa goli moja tu (Goal Difference) na kinara AS FAR wala sio pointi.
 
CAF CC Yanga Bingwa
NBC Yanga Bingwa
Azam CC Yanga Bingwa
NGAO Hisani Yanga Bingwa
Atakaye bisha atakuwa na tabia za afwande wa zenji
Hatuwezi kubishana na kina Ashura cheupe maana ni wabishi hao... 😆 😆
 
Huko kwenye Luza ndio mlishikwa uchawi nchi za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…