Tuache na mtabiri wetu,usikute alienda mbinguni kama Da Zumaridi 🏃Tawireeee tawiree
Wakati huo hao ma opponents wamelala uwanjani..
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......CAF CC Yanga Bingwa
NBC Yanga Bingwa
Azam CC Yanga Bingwa
NGAO Hisani Yanga Bingwa
Atakaye bisha atakuwa na tabia za afwande wa zenji
Kombe la looserNjia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Tawireeee tawiree
Wakati huo hao ma opponents wamelala uwanjani..
Tujifunze kukiri kuwa timu zetu zimeimarika!Timu nyingi za shirikisho za msimu huu ni za kawaida sana tofauti na zile za msimu uliopita
Ndiyo nzuri tusubirie utekelezajiNjia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
We winner una lipi lakutilingishia huko CL!?Pale washiriki wa Kombe la WASHINDWA (LUZA) Kombe la VIBONDE (Looser) wanajifariji na kujipa moyo.
AminaNjia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Amka usije ukajikojolea mkuuNjia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Al hilal aliwafurushaaa mapemaa tyuuh na Makundi hamjanusaa, mkaangukia kwa losers wenzenu.Ukiangalia trend ya matokeo kwenye haya mashindano, utagundua kwamba timu nyingi zinazoshiriki hazitofautiani sana uwezo na Yanga. Hivyo Wananchi wakichanga karata zao vizuri, lolote linaweza kutokea.
Ni tofauti kabisa na ule upande wa pili ambako kuna timu piga ua! Lazima zifike fainali, na ikiwezekana kuchukua kabisa ubingwa! Imagine timu kama Mamelody Sundowns, Aly Ahly, Raja Casablanca, Wydad Casablanca, Eperance, nk.
Hivi wadogo zetu watapitia wapi ili kufika hiyo fainali? Huku wakiwa na kikosi cha wachezaji wale wale! Maana hata kwenye mashindano tu ya ndani ya ASFC, wachezaji wanapangwa wale wale!! Watafika kweli hata kwenye hatua ya nusu fainali? Mara zote safari yao itakuwa inafikia tamati kwenye hatua ya Robo fainali tu.