Hesabu zinambeba Yanga SC kuwa bingwa CAFCC 2023

Hesabu zinambeba Yanga SC kuwa bingwa CAFCC 2023

Kuna muda huwa hatutaki kucheka, ila huwa mnatulazimisha.. [emoji23][emoji23]
 
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.

1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe

(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)

Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:

1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat

Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants

Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa

1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.

2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.

Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.

FINAL:-

1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.

2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.


YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Kombe la looser
 
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.

1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe

(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)

Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:

1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat

Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants

Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa

1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.

2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.

Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.

FINAL:-

1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.

2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.


YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Ndiyo nzuri tusubirie utekelezaji
 
Kiukweli mpira wa Uto saivi upo juu sana, wanaweza kufika fainali ama kulibeba kombe kabisa.

Sisi robo kwetu imekua kikwazo kila msimu.
 
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.

1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe

(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)

Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:

1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat

Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants

Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa

1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.

2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.

Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.

FINAL:-

1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.

2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.


YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Amina
 
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.

1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe

(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)

Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:

1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat

Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants

Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa

1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.

2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.

Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.

FINAL:-

1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.

2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.


YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
Amka usije ukajikojolea mkuu
 
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.

1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe

(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)

Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:

1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat

Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants

Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa

1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.

2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.

Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.

FINAL:-

1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.

2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.


YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.

Mbona umeruka semi finals??
 
Ukiangalia trend ya matokeo kwenye haya mashindano, utagundua kwamba timu nyingi zinazoshiriki hazitofautiani sana uwezo na Yanga. Hivyo Wananchi wakichanga karata zao vizuri, lolote linaweza kutokea.

Ni tofauti kabisa na ule upande wa pili ambako kuna timu piga ua! Lazima zifike fainali, na ikiwezekana kuchukua kabisa ubingwa! Imagine timu kama Mamelody Sundowns, Aly Ahly, Raja Casablanca, Wydad Casablanca, Eperance, nk.

Hivi wadogo zetu watapitia wapi ili kufika hiyo fainali? Huku wakiwa na kikosi cha wachezaji wale wale! Maana hata kwenye mashindano tu ya ndani ya ASFC, wachezaji wanapangwa wale wale!! Watafika kweli hata kwenye hatua ya nusu fainali? Mara zote safari yao itakuwa inafikia tamati kwenye hatua ya Robo fainali tu.
Al hilal aliwafurushaaa mapemaa tyuuh na Makundi hamjanusaa, mkaangukia kwa losers wenzenu.

Mtuaache huku tupo wakubwaa tyuuh tunasemezanaa. Kwan lazima mtuongeleee?? Mbna mtateseka sanaa na badoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom