Hesabu zinambeba Yanga SC kuwa bingwa CAFCC 2023

Yanga akimaliza wa pili 1st leg atakuwa home
 
Hao sasa ndiyo rika letu,na nyie vibonde ndiyo rika lenu si unajua tuko daraja la juu kuliko nyie na hiyo ndiyo maana halisi ya Loosers cup

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Luza kapu
 
Yanga wanacheza jihad sana,binafsi nashabikia simba lakini kwa yanga hii sioni wa kuwazuia kuchukua ubingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…