Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachoshindwa kuelewa nini nimesema huyu dogo heshima apewe kama mtanzania Kwa kazi aliyoifanya.Ngoja tusibiri msimu ujao kimataifa na nyie tuwaone na hicho kibwana chenu!
Yah ni kweli dogo uwezo anao.Akaja Kibu,ina maana kacheza na wachezaji wa Nchi nne na wakachemka
Hata akicheza na ww.Hiyo kazi anaifanya akicheza na Simba
Lazima?Hata akicheza na ww.
Elewa kilichoandikwa.
Huyu bwana mdogo apewe tu heshima yake tuache kusifia wachezaji wa kigeni.
Dogo mpira anaupiga jana kaweza kupambana na Morrison akahama namba akaja Sacko nae kabadili namba kaja Chama naye kakimbia heshima kwake.View attachment 2206972
Ulimzuia wewe ili asikuingilieNi kweli Kaka…Nakubaliana na wewe[emoji91][emoji91][emoji109]
Je Mayelle wetu hivi Kuna Mtu alimzuia Kweli?
Asimuingilie wapi tena [emoji848][emoji38]Ulimzuia wewe ili asikuingilie
Hao ni wale waliokuwa wanakwenda kupiga kambi je wapita njia waliokuwa wanataka kupita hiyo njia nao walikwama. Hongera sana Kibwana.Huyu bwana mdogo apewe tu heshima yake tuache kusifia wachezaji wa kigeni.
Dogo mpira anaupiga jana kaweza kupambana na Morrison akahama namba akaja Sacko nae kabadili namba kaja Chama naye kakimbia heshima kwake.View attachment 2206972
Tukienda nae mashindano ya CUF atasaidia kwani anauwezo kusaidia nchi ikashinda nchi 3 ikiwemo Ghana😂Akaja Kibu,ina maana kacheza na wachezaji wa Nchi nne na wakachemka
mbona unalazimisha furaha hivyoHata akicheza na ww.
Elewa kilichoandikwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukienda nae mashindano ya CUF atasaidia kwani anauwezo kusaidia nchi ikashinda nchi 3 ikiwemo Ghana[emoji23]
NB. Usidhani sijui kuwa CUF ya mpira in A kwenye U[emoji23]