Heshima apewe Kibwana Shomari

Kibwana Shomary nilimuona tangia mechi ya kwanza ya darby msimu huu,hakika uyu ni beki haswa.
 
Tatizo wachezaji wetu wa ndani ukimsifia kesho mabega juu ,mechi inayofuata akiboronga matusi kama yote toka jukwaani.
Dogo aongeze bidii na kujiamini, pia awe na nidhamu ya mpira.
 
Kibwana Shomari analingana na Defender Hans Agbo mchezaji wa zamani wa Cameroon. Ila ana hitajika ajenge umbo lililo Shiba, Atafika mbali kwakua kipaji anacho.
 
Mchezaji anasifiwa bila match statistics, only in Tanzania.
Nilitegemea kukuta namba za blocks, aerial duels,etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…