Heshima ifuate mkondo wake

Heshima ifuate mkondo wake

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
2,348
Reaction score
5,841
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.

Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao si vibaya maana mazoea yakizidi sana ni hatari kwa mahusiano.
 
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano

Screenshot_20230507-192434~2.png
 
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
Hebu andika stori inayoeleweka, ni nini hiki sasa
 
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
Kwa hiyo kila timu yako inapofungwa ndiyo unataka mipaka izingatiwe, timu yako ikishinda ni mipaka wala mipanya?
 
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
 
Haipendezi kabisa kumpiga mwanamke! Sijui mnawezaje wenzangu.
 
Back
Top Bottom