Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
Kukaaa kimya pia ni busaraNimejizuia kuandika nilichokusudia
Kwahyo soma tu hiki hiki nilichoandika
Hebu andika stori inayoeleweka, ni nini hiki sasaWakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
Kwa hiyo kila timu yako inapofungwa ndiyo unataka mipaka izingatiwe, timu yako ikishinda ni mipaka wala mipanya?Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
Wakuu Leo shemeji yenu amekula kelebu moja matata baada ya kuniletea majibu ya mkato yaliyochanganyika na mzaha wakati ambao mimi ndgu yenu nilikuwa serious.
Mara moja moja kuwakumbusha hawa viumbe kujua mipaka yao c vbaya maana mazoea yakizidi sna ni htari kwa mahusiano
Mara moja mojaHuwa unatumia gongo?
ugoro jeMara moja moja
Safi sana jitahidi ujifunze na bangeMara moja moja
Kiasi ila sio kiviileugoro je
Makini hiiSafi sana jitahidi ujifunze na bange