Heshima kwa Diamond Platnamz

kanyela mumo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,034
Reaction score
2,117
A.k.a Simba, kiukweli umetisha sana kwa jambo kuu moja, Binafsi nakupongeza sana Diamond Plutnum Mtoto wa Tandale.

Jambo kuu lenyewe ni ili la kuwa makini sana katika Maisha yako, nazungumzia Ubavu wa pili ( msaidizi wa Mwanaume )

Safari yako ilikuwa ngumu kiasi kwa sababu huku bahatika kufungua mlango wa heshima katika Nyumba ulizo paua hapo awali.

Tuanze na Nyumba jirani to South bondeni Nyumba hii ilikuwa tayari na milango Miwili, wengine huwa waasema milango mitatu.. Hii ulikuwa unaishi kwenye ghorofa lenye milango miwili lakini funguo wengi wanazo.

Nyumba ya pili ni hii ina mlango mmoja ni nyumba nzuri saizi yako ila hii nyumba msingi hukuujenga wewe ndio maana alie jenga msingi kaacha Ramani ya Mlango mmoja, hivyo muda wowote ni sawa na kutembea na mua jangwani.

Nyumba hii ya tatu naona unaanza Msingi mwenyewe na pia soon Unaanza na Mlango mmoja..., nikuambie hii ndio nyumba ukichemka hapa ni sawa na kupoteza kile ulicho pigania katika Maisha yako yote.

Ulikuwa kipenzi cha kina Mama na Wadada sasa utakuwa kinyume na muziki wako utakwama.

Umeanza vizuri Malizia vizuri i mean hapo Tulia sasa.. Mechi za mchangani kwa hisani ya mgunduzi wa Saa.


One love.


NB: Malizia kumvuta kwenye kuangalia Magharibi utimize zile nguzo za Maana.
 
Huyu jamaa ni muislamu mwenzangu lakini mambo anayoyafanya inna lillahi waina ilaihi rajiun. Na huyo alienae sijui ndio mke mtarajiwa na ictoshe kishambebesha mimba 😀 picha yake imepostiwa mtandaoni akiwa nusu uchi subhanallah, namsikitikia sana uyu ndugu yangu anapoelekea huko, Namuombea Allah SWT amuongoze!
 
Duh, Abdul, Okwi na Wema Sepetu wana DNA nzuri sana, miaka haiongezeki!! Eti miaka 25 , maana yake kazaliwa 1994. Kamwambie kaitoa 2008 akiwa na miaka 14 na alikuwa kamaliza form four.
Pumbavu sana wewe!
hahah aha watu mnamajibu
 
Duh, Abdul, Okwi na Wema Sepetu wana DNA nzuri sana, miaka haiongezeki!! Eti miaka 25 , maana yake kazaliwa 1994. Kamwambie kaitoa 2008 akiwa na miaka 14 na alikuwa kamaliza form four.
Pumbavu sana wewe!

Yao inaenda anti clockwise mkuu [emoji81][emoji81]
 
Huyu jamaa ni muislamu mwenzangu lakini mambo anayoyafanya inna lillahi waina ilaihi rajiun. Aliemuoa sasa mara ajipost nusu uchi kwenye mtandao! subhanallah, namsikitikia sana uyu ndugu yangu anapoelekea huko, Namuombea Allah SWT amuongoze!
Hivi alimuoa lini mkuu?
 
Duh, Abdul, Okwi na Wema Sepetu wana DNA nzuri sana, miaka haiongezeki!! Eti miaka 25 , maana yake kazaliwa 1994. Kamwambie kaitoa 2008 akiwa na miaka 14 na alikuwa kamaliza form four.
Pumbavu sana wewe!
[emoji2][emoji2]
 
Duh, Abdul, Okwi na Wema Sepetu wana DNA nzuri sana, miaka haiongezeki!! Eti miaka 25 , maana yake kazaliwa 1994. Kamwambie kaitoa 2008 akiwa na miaka 14 na alikuwa kamaliza form four.
Pumbavu sana wewe!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tanasha mchovu mwenzetu, kizuri kamshukuru mondi kamtoa alikuwa hajulikani alakat za ustaa alianza muda ila hakutoka, baada ya kuwa na mond kajulikana.
 
Hawezi kuwa best ana watoto 6 na miaka 40,abdul ana miaka 25

Usisahau dini tofauti hata huyu wa sasa bado hajapata mke kapita na salam kapita na kiba kitoto kinapuliza sigara vibaya na ulabu juu wanamjua wanasema hata product ya bakheresa anabwia mwacha afiche makucha safaei anayo
 
Usisahau dini tofauti hata huyu wa sasa bado hajapata mke kapita na salam kapita na kiba kitoto kinapuliza sigara vibaya na ulabu juu wanamjua wanasema hata product ya bakheresa anabwia mwacha afiche makucha safaei anayo
Tutafanyaje wabongo wenzao hawatutaki, wanawawezesha wa nje.
 
Tanzania ,Kenya na Uganda tayari. Bado Rwanda na Burundi hapo atakuwa kamaliza.
 
Huyu jamaa ni muislamu mwenzangu lakini mambo anayoyafanya inna lillahi waina ilaihi rajiun. Aliemuoa sasa mara ajipost nusu uchi kwenye mtandao! subhanallah, namsikitikia sana uyu ndugu yangu anapoelekea huko, Namuombea Allah SWT amuongoze!
kuna watu hawakai nusu uchi wala hawavuti bangi na pia hawatendi mema chibu sawa anamambo mengi lakini anatenda mema he is Good for something and not Good for nothing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…