RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mtoto mzuri hivyo unapandaje daladala?Na kwambia makapuku tunakomoka na mvua hizi, hizo daladala lol! mguu shingo, teke la uso [emoji25][emoji25]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mzuri hivyo unapandaje daladala?Na kwambia makapuku tunakomoka na mvua hizi, hizo daladala lol! mguu shingo, teke la uso [emoji25][emoji25]
😂😂😂JF kila mtu ana gari. Wewe unakwama wapi aiseeh.
Kwanini unampora?Njoo nikupe kibaby walker kuna mwenzio nampora.
Naomba mojaHuu ndio msimu wa kuheshimiana.
Hata sielewiJf kila mtu ana gari wewe unafeli wapi?
Kwanini unampora?
Hapana..kwanini uchukue si ulitoa zawadi?Ukiachana na mtu si unachukua na kilicho chako?
Hapana..kwanini uchukue si ulitoa zawadi?
Njoo uchukue gari achana na daladalaUzuri ninao tatizo bahati