Fighter101
Member
- Jan 8, 2022
- 46
- 64
Naomba niweke mambo sawa hapa.
Inawezekana unaona kuna watu wanaheshimika sana wengine ndo ivo, ni hivi wale wanoheshimika hiyo heshima wameitafuta hawapewi iviivi.
Njia mojawapo ya kutafuta heshima ni kufanya mambo mazuri na makubwa kiasi kwamba wewe unakuwa mfano kwa wengine.
So usikae kulialia huheshimiwi tafuta heshima, hupewi bure na utabaki kulaumu watu tu.
Good night.
Inawezekana unaona kuna watu wanaheshimika sana wengine ndo ivo, ni hivi wale wanoheshimika hiyo heshima wameitafuta hawapewi iviivi.
Njia mojawapo ya kutafuta heshima ni kufanya mambo mazuri na makubwa kiasi kwamba wewe unakuwa mfano kwa wengine.
So usikae kulialia huheshimiwi tafuta heshima, hupewi bure na utabaki kulaumu watu tu.
Good night.