Heshima ya Kenya.

Heshima ya Kenya.

NairobiWalker

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
14,267
Reaction score
14,890
34894.jpg
 
Wanatutia aibu kwa lipi? Wakenya akili zao ziko miguuni, sisi kwetu ziko kichwani, hivyo waache wakimbie isitoshe sisi hatuna Wakalenjil, hapo ni nature tu hata ufanye nini huwezi shinda hao watu kwa mbio!
Mbona makampuni yenu yote makubwa CEOs wanazika Kenya, huoni hii ni aibu nyingine? nenda Zanzibar Na arusha hotelini zimejaa wafanyakazi wa Kenya
 
Wanatutia aibu kwa lipi? Wakenya akili zao ziko miguuni, sisi kwetu ziko kichwani, hivyo waache wakimbie isitoshe sisi hatuna Wakalenjil, hapo ni nature tu hata ufanye nini huwezi shinda hao watu kwa mbio!
gerara-here.jpg
 
kenya moto ya kuotea mbali...wahabeshi walikiona vumbi jana pamoja na Mo Farah wa GB
 
Back
Top Bottom