Heshima ya SERIE A yarejea

Barca imekua timu ya kiboya yan hata fulham FC angelinda agg. Ya 4-1....by the way nani asiye jua kua Madrid wanakuaga 12 uwanjani pamoja na refa ....kama sikosei mchezo ujao Vidal ananyekundu tayari
hamna game iliniuma kama ile vidal alipopewa kadi nyekundi!-ma refaree wa kiingereza ni shida
 
hamna game iliniuma kama ile vidal alipopewa kadi nyekundi!-ma refaree wa kiingereza ni shida
Mkuu referee wa Madrid vs Bayern Perez ashamnunua tayari utasikia commentators wakisema..." Some reckless play there as Vidal from Bayern goes too far...trips an opponent, and he is lucky to receive a well deserved RED card..." [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Barca imekua timu ya kiboya yan hata fulham FC angelinda agg. Ya 4-1....by the way nani asiye jua kua Madrid wanakuaga 12 uwanjani pamoja na refa ....kama sikosei mchezo ujao Vidal ananyekundu tayari
Mkuu Barca ni timu iliyotimia kila idara, ni lazima tuwape pongezi Roma ambao hata mechi ya kwanza pale Nou Camp walicheza vizuri sana.

Pia kuna kitu kimoja watu tunashindwa kukifaham, hakuna klabu Ulaya kwa sasa yenye viungo waliotimia zaidi ya Daniele de Rossi, Radja Naingolan na Kevin Strootman, ni shida!!!!

Suala la kulinda aggregate sio ishu, AC Milan yenye Dida, Maldini, Nesta, Pirlo, Gattuso, Seedorf, Kaka, Shevchenko, Inzaghi walishindwa kulinda the same aggregate kwa Deportivo la Coruna back in 2004.
 

Juve walikua na sub 2 mknoni. Cuardrado na marchiso nao wengiingia uwanjani je nalo lingekuaje?
 
Kwa wadau wa ukweli wa soka Seria A ndio mahala pao. Mafanboys na watu team kiduku mara team mo wao maeneo yao ndio EPL na Real & Barca.

Seria A ilikua ligi bora ulaya toka miaka ya 60. na miaka ya 80,90,2000's ni habari nyengine kabisa.
EPL na hao wahafidhina wawili wa laliga wanaringia Pesa tu ndizo zinazowaweka mjini. Lakini Class ni permanent.
 
Kusajiliwa kwa Ronaldo, kuhitajika kwa Pogba na usajili mpya wa AC wa wiki hii unakwenda kuchagiza ligi hiyo.
 
Namsubiri kwa hamu kumona Fundi Pastore ndani ya Roma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…