Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodi wanamakosa gani?ikiwa nacte&tcu bado hawajakamilisha udahili.unataka watoe majina nusu nusu??cha muhimu ni kuvuta subira,naimani watatoa majina kabla chuo chochote hakijafungua
Bodi wanamakosa gani?ikiwa nacte&tcu bado hawajakamilisha udahili.unataka watoe majina nusu nusu??cha muhimu ni kuvuta subira,naimani watatoa majina kabla chuo chochote hakijafungua
Nafikili baada ya watu wa transfer kumaliza app zao, ili ku facilitate loan location.
Neno langu sio sheria
Hv hii transfer kiukweli/kimcngi tofauti na walioomba transfer kutumiwa massage ya kukubaliwa maombi yao, hiyo rpoti inaanza kutoka lini au kuachiliwa lini kwenye website ya tcu kama walivyoeleza wataiachilia kwenye website yao
Leo tarehe 7 loan board kimyaaaa..
Mzee kanambia nisahau chuo kama board haijatangaza majina...jaman watoto wa wakulima mbona tutakoma,tarehe 11 natakiwa nireport chuo kuna usalama hapo??
atleast waseme something...nakata tamaa maskn mie
Leo tarehe 7 loan board kimyaaaa..
Mzee kanambia nisahau chuo kama board haijatangaza majina...jaman watoto wa wakulima mbona tutakoma,tarehe 11 natakiwa nireport chuo kuna usalama hapo??
atleast waseme something...nakata tamaa maskn mie