HESLB imenipa maswali kichwani sielewi naombeni ushauri na msaada kuhusu mabadiliko yaletwayo na heslb kwenye Account

kruzostom

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2024
Posts
310
Reaction score
419
Ndugu zangu mimi sielewi katika hili naomba ushauri na ufafanuzi kuhusu badiliko hili kwenye account yangu ya HESLB
Kwenye institution hawajaweka chochote.

Naogopa sana na kujiuliza maswali mengi kweli sijui shida ni multiple admissions kwa kweli sielewi jamani naombeni mnisaidie
 
Ngoja waje, japo umetuma uzi huu mida ya Wanga na ni weekend.
 
Dogo sasa si usingeweka Majina yako hapo...
 
Ulifanikiwa kupata mkopo katika awamu ya kwanza au ya pili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…