HESLB inawaumiza Watanzania; kwa haya madudu mnamwangusha Rais

HESLB inawaumiza Watanzania; kwa haya madudu mnamwangusha Rais

Mimi nashauri wahusika wote walio pewa maelekezo ya kufuta hizo tozo halafu wakakaidi kuzifuta watumbuliwe wewe utakiukaje maelekezo ya Boss wako?Wazir alisema mnufaika alipe pesa aliyokopeshwa tu bila kuwemo value retention fee pamoja na penalty

Vp utupe mrejesho watu wa bod wameshughulikia jambo lako?
 
Lini mtajifunza kuwa hiyo bodi haifanyi kazi kutokana na malengo ya uanzishwaji wake bali hiyo ni biashara na haiko kumhurumia huyo mnaemuita mtoto wa masikini
 
Back
Top Bottom