Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
- Thread starter
- #21
NAOMBA MNISAIDIE HIVI NI NGAZI GANI YA ELIMU UNARUHUSIWAKUITWA MSOMI?
Mm naona kwa shahada ya kwanza ni kujikweza.
Mkuu msomi ni mtu anayeweza kusoma, kuandika na kuhesabu bila kusahau kuwa na uwezo wa kutambua na kudai haki binafsi na ya jamii.