Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
- Thread starter
-
- #21
NAOMBA MNISAIDIE HIVI NI NGAZI GANI YA ELIMU UNARUHUSIWAKUITWA MSOMI?
Mm naona kwa shahada ya kwanza ni kujikweza.
Huyu dogo ni mofo, i knew it since day1...
Unakumbuka how he messed up kwenye kupata boom la 4, just imagine hata Ardhi na MU had it before us, very bewildering...!!
Haya!! anataka awafuze mawaziri wake ili iweje?? Nakati yeye ndio kiroba cha misumari.
NAOMBA MNISAIDIE HIVI NI NGAZI GANI YA ELIMU UNARUHUSIWAKUITWA MSOMI?
Mm naona kwa shahada ya kwanza ni kujikweza.
Tukija maofisini na vibahasha mtupigie macrosi bana...
:A S grin:
Ndugu wana jf wanafunzi wa vyuo mbalimbali hususani vyuo vifuatavyo; udsm mlimani (chuo cha taifa), muce , duce na udom pesa zao zitaanza kulipwa baada ya sikukuu ya EID EL FITR. Ni ukweli isiopingika kuwa wanafunzi wameanza
HESLB ni company au taasisi, sielewi kitu naona zinatajwa hela?
Hapo umeharibu hata maudhui ya uzi wako...
HESLB ni taasisi inayohusika na kuwakopesha wanafunzi wa elimu ya juu kuanzia ada na pesa ya mlo na malazi mkuu
pls jaman naomben msaada wenu nimeomba mkopo kwa mwaka wa masomo 2014\2015 sasa tatizo linakuja liki log in ili nizione taarifa zangu kuna sehemu imeandikwa application status niki click pale inaniletea taarifa kuwa application is incomplete you should fill other forms.mi sielewi form gan tena wakati kujaza nimejaza na kuzituma tayari mwenye uelewa pls msaada wenu
Hapa kunauwezekano hukujaza self informations kwenye CAS kama marital & health status, email, mobile #, gender etc, angalia hapo mkuu. Pia unaweza kuwasiliana nao kwa njia ya simu(i speak out of experience hapa)
hiyo CAS imeingiaje tena hapo mkuu?..
Kitu cha kwanza baada ya kufungua ni pamoja na kuchagua viongozi upyaaaaaaaaaaaa
Maana tuliowaacha hawafai #ifm #udom #udsm #kwingineko
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kitu cha kwanza baada ya kufungua ni pamoja na kuchagua viongozi upyaaaaaaaaaaaa
Maana tuliowaacha hawafai #ifm #udom #udsm #kwingineko
Sent from my iPhone using JamiiForums
wakuu pesa zetu vipi?