Acha kubahatisha kama vile uko saut
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mzigo tayari umeshapakuliwa(watu wa IT ndio wanaufeed na kuutengenezea program),kwa haraka haraka mchanganuo wa loan hupo hivi.1.Md,vet,civil=wamekula mia.2.maticha a.k.a Education=wamekula>70 .3.waliogonga private mwanzo mwisho then non-science non-priority=bajeti imebana,wapo kama 3500 .4.wengine wamekosa but sina statistically reason kamili,Lastly wengi wamepata kutokana na mpunga wenyewe kuwa mwingi this year,by next week wazembe flani wa NACTE na TCU wakileta nakala flani bodi wanaweza fanya yao coz kila kitu kipo fixed,confirmation tu ndo inasubiliwa.......kila la kheri wahusika
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mzigo tayari umeshapakuliwa(watu wa IT ndio wanaufeed na kuutengenezea program),kwa haraka haraka mchanganuo wa loan hupo hivi.1.Md,vet,civil=wamekula mia.2.maticha a.k.a Education=wamekula>70 .3.waliogonga private mwanzo mwisho then non-science non-priority=bajeti imebana,wapo kama 3500 .4.wengine wamekosa but sina statistically reason kamili,Lastly wengi wamepata kutokana na mpunga wenyewe kuwa mwingi this year,by next week wazembe flani wa NACTE na TCU wakileta nakala flani bodi wanaweza fanya yao coz kila kitu kipo fixed,confirmation tu ndo inasubiliwa.......kila la kheri wahusika
Naona vijana wa zile kozi zetu wamechanganyikiwa kabisa
kozi gani hizooo???
hizi taarifa ni za kweli kwani ata mie nimezipata kwa bro yupo anafanya kaz bodi ya mkopo wakuu!