HESLB Kutoka Jikoni kabisa

HESLB Kutoka Jikoni kabisa

vp kuhusu waliopata selection second round majina yalfika heslb kwel?yacjeyakawa majanga!!
 
may be!!! but what i know mpaka j5 this week ndo ntapata habari yangu rasmi
Re: HESLB Kutoka Jikoni kabisa
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mzigo tayari umeshapakuliwa(watu wa IT ndio wanaufeed na kuutengenezea program),kwa haraka haraka mchanganuo wa loan hupo hivi.1.Md,vet,civil=wamekula mia.2.maticha a.k.a Education=wamekula>70 .3.waliogonga private mwanzo mwisho then non-science non-priority=bajeti imebana,wapo kama 3500 .4.wengine wamekosa but sina statistically reason kamili,Lastly wengi wamepata kutokana na mpunga wenyewe kuwa mwingi this year,by next week wazembe flani wa NACTE na TCU wakileta nakala flani bodi wanaweza fanya yao coz kila kitu kipo fixed,confirmation tu ndo inasubiliwa.......kila la kheri wahusika

Source of information please!
 
ahahaaa haya

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mzigo tayari umeshapakuliwa(watu wa IT ndio wanaufeed na kuutengenezea program),kwa haraka haraka mchanganuo wa loan hupo hivi.1.Md,vet,civil=wamekula mia.2.maticha a.k.a Education=wamekula>70 .3.waliogonga private mwanzo mwisho then non-science non-priority=bajeti imebana,wapo kama 3500 .4.wengine wamekosa but sina statistically reason kamili,Lastly wengi wamepata kutokana na mpunga wenyewe kuwa mwingi this year,by next week wazembe flani wa NACTE na TCU wakileta nakala flani bodi wanaweza fanya yao coz kila kitu kipo fixed,confirmation tu ndo inasubiliwa.......kila la kheri wahusika
 
Mimi nakupongeza kwa kuwareply wote waliokukashfu!!! Static mkaka no fear!!!
 
spleen kumbe unaishi milembe,,dah nilikua sijui
 
hizi taarifa ni za kweli kwani ata mie nimezipata kwa bro yupo anafanya kaz bodi ya mkopo wakuu!
 
hizi taarifa ni za kweli kwani ata mie nimezipata kwa bro yupo anafanya kaz bodi ya mkopo wakuu!

kumbe bro wk yupo heslb mwambie akuangalizie jina lk,uc2subir cc,wengine ha2julikan hapa nchin
 
Back
Top Bottom