Msomi_wa_bongo2
Member
- Nov 6, 2015
- 46
- 18
Kwa wale walioomba mkopo wa elimu ya juu (HESLB) - 2021/22 tembelea account yako chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari mfano huo hapo chini wa aliepata mkopoAmina
mzee inamana wanaendelea kutoa mdogo mdogo ama nn?? vipi hio akaunti chini hapa?View attachment 1977333
Mkuu hela za madogohuwez amini,mtu ada million 1.3 then tuition fee laki moja ivi mtanzania anafanyaje apoTumieni pesa vizuri, huku mtaani ni kugumu mnooo!
Pagumu hapo mkuuMkuu hela za madogohuwez amini,mtu ada million 1.3 then tuition fee laki moja ivi mtanzania anafanyaje apo
Hali ngumu kaka sijui wanampango ganiCjaelewa kabisa afya karibia ote tumepata boom tu au ndo mwaka huu hatuendi kusoma tunaenda kula tu??
Almost ni zero au unakuta 350k out of several millions [emoji3061][emoji3061]
Wengine hata boom tumelikosa daah[emoji3]Cjaelewa kabisa afya karibia ote tumepata boom tu au ndo mwaka huu hatuendi kusoma tunaenda kula tu??
Almost ni zero au unakuta 350k out of several millions [emoji3061][emoji3061]
Shukuru Mungu umekosa boomWengine hata boom tumelikosa daah[emoji3]
Kwa sasa hawata kuelewaTumieni pesa vizuri, huku mtaani ni kugumu mnooo!
Inaonekana sio kipaumbele Chao kwa mwaka huu,Mana graduates wengi wa ualimu na Hizo fani za afya wapo mtaani hawana ajira na wanadaiwa fedha nyingi sanaAkuna Cha MD, course ya afya wala mwalimu wote wamekula zero
Kama sio kipaumbele Chao, kipaumbele Chao ni kipi maan hakuna course iliyopewa mkopoInaonekana sio kipaumbele Chao kwa mwaka huu,Mana graduates wengi wa ualimu na Hizo fani za afya wapo mtaani hawana ajira na wanadaiwa fedha nyingi sana
🤣🤣🤣 Nlikua na huzn lkn nmechekaWengine hata boom tumelikosa daah[emoji3]
Kama sio kipaumbele Chao, kipaumbele Chao ni kipi maan hakuna course iliyopewa mkopo
Dah inaumaa[emoji856][emoji856]Cjaelewa kabisa afya karibia ote tumepata boom tu au ndo mwaka huu hatuendi kusoma tunaenda kula tu??
Almost ni zero au unakuta 350k out of several millions [emoji3061][emoji3061]